Wednesday, December 16, 2009

Acts 6

Action za masoja wa Jenerali JC, Chapta ya sita-Acts 6

1.In those days when the number of disciples was increasing, the Grecian Jews among them complained against the Hebraic Jews because their widows were being overlooked in the daily distribution of food.
Sa katika hizo madays, vile namba ya mamemba ilikuwa ikiongezeka, wayahudi wenye walitokezeaga Greece wakazusha sana ju ya wayahudi mahebrew- ati ju ma widows walikuwa wakilengwa katika ile projo ya kusambaziwa dishi daily.

2.So the Twelve gathered all the disciples together and said, "It would not be right for us to neglect the ministry of the word of God in order to wait on tables.
Ju ya hiyo food scandal, wale wadhii disciples twelve wote tugezza wakagazza wakisay niaje," Haiwezi kuwa right kwetu ati tulenge huduma ya word ya Sir Godi njo tuanze kukimbizana na order za dishi kwa matebo.

3.Brothers, choose seven men from among you who are known to be full of the Spirit and wisdom. We will turn this responsibility over to them
Mabruzza, chagueni mtu saba kati yenu wenye wanameseka kuwa wamejazwa na Roho na hekima. Tutapeana hii janta na responsibility yote kwao

4.and will give our attention to prayer and the ministry of the word."
na tutaweka attention yetu kwa maombi na huduma ya word."

5.This proposal pleased the whole group. They chose Stephen, a man full of faith and of the Holy Spirit; also Philip, Procorus, Nicanor, Timon, Parmenas, and Nicolas from Antioch, a convert to Judaism.
Hii proposal ilikuwa smarta, ikafurahisha wadhii wa group yote. Wakachagua Steve, mse amejaa imani vifiti na mwenye ako na Holy Spirit; pia Phillo, Procorus, Nicanor, Timon, Parmenas na Nico toka Antioch, mse aliconvert to Judaism.

6.They presented these men to the apostles, who prayed and laid their hands on them.
Wakapresent hawa wadhii kwa ma apostles, wakawaombea na kuwawekelea mikono.

7.So the word of God spread. The number of disciples in Jerusalem increased rapidly, and a large number of priests became obedient to the faith.
So word ya Sir Godi ikasambaa. Ile namba ya wafuasi Jerusa ikazidi kujaajaa chap chap, na rende bwaku ya mapriests wakakuwa obedient kwa the faith.

8.Now Stephen, a man full of God's grace and power, did great wonders and miraculous signs among the people.
Sa Stevo, mdhii alikuwa amejawa na grace na nguvu ya sir Godi vinomient, alikuwa aki do ma signs miraculous sana kati ya wadhii.

9.Opposition arose, however, from members of the Synagogue of the Freedmen (as it was called)—Jews of Cyrene and Alexandria as well as the provinces of Cilicia and Asia. These men began to argue with Stephen,
Lakini pia opposition ikatokea toka kwa mamemba wa synagogue ya wadhii free (Ka vile ilimeseka) - wayahudi wa Cyrene na Alexandria pia tena wadhii wa Cilicia na Asia. Hawa wasee walianza kuzua arguments na Stevo,

10.but they could not stand up against his wisdom or the Spirit by whom he spoke.
lakini hawengemake kutoboa wisdom yake ama yule Roho aliongelea kupitia.

11.Then they secretly persuaded some men to say, "We have heard Stephen speak words of blasphemy against Moses and against God."
Kisha wakaconvince wadhii in secret wakam waseme, "Tumeskia Stevo akibonga maneno za blasphemy against Mose na against Sir Godi."

12.So they stirred up the people and the elders and the teachers of the law. They seized Stephen and brought him before the Sanhedrin.
So wakazua wadhii na wazae na kuwachokora, pia pamoja na mamode wa law. Wakakwachu Stevo na kumleta mbele ya Sanhedrin.

13.They produced false witnesses, who testified, "This fellow never stops speaking against this holy place and against the law.
Wakaproduce mawitness wa uwongo wenye walitestify, "Huyu Chali hawachagi kubonga against Holy spirit na against sheria.


14.For we have heard him say that this Jesus of Nazareth will destroy this place and change the customs Moses handed down to us."
Ju tumesha skia akinego ati huyu Jesus wa Nazareth atadestroy hii place nakubadilisha customs za Mose zenye aligeana down kwetu."

15.All who were sitting in the Sanhedrin looked intently at Stephen, and they saw that his face was like the face of an angel.
Wote wenye walikuwa wakipolea kwa Sanhedrin wakacheki Stevo kwa makini, na wakacheki that face yake ilikuwa ka face ya Angel.

Saturday, December 5, 2009

Acts 5

Matendo za masoja wa Jenerali JC, Chapta Ngovo-Acts 5

1.Now a man named Ananias, together with his wife Sapphira, also sold a piece of property.
Sa Jamaa mmoja anaitwa Ananias, pamoja na wife wake Sapphira, pia walikinda kipande ya maburungo zao.

2.With his wife's full knowledge he kept back part of the money for himself, but brought the rest and put it at the apostles' feet.
Bado wife wake akimesea kabisa Ananias akapiga operation ya kiasi ya hizo doh kando za kujipanga nazo, lakini akaletatherest akaseti kwa miguu za ma apostles.

3.Then Peter said, "Ananias, how is it that Satan has so filled your heart that you have lied to the Holy Spirit and have kept for yourself some of the money you received for the land?
Manze Peter akabonga, "Ananias niaje shaito amejaa kwa heart yako ivo hadi umepanga Holy spirit mauongo na ukaji wekea kiasi yaile munde uliget from kuuza shake yenu?

4.Didn't it belong to you before it was sold? And after it was sold, wasn't the money at your disposal? What made you think of doing such a thing? You have not lied to men but to God."
Si ilikuwaga yako bafore ikindwe? Na vile ilikindwa,simunde ilikuwa yakop ku do chenye ungetaka? Ni what ilikufanya u think ku do kitu ka iyo?Hujadanganya wasee umedanganya sir Godi."

5.When Ananias heard this, he fell down and died. And great fear seized all who heard what had happened.
Vile Ananias aliskia ivo, akadunda down akakick. Na njeve meja ikakwachu wadhii wote wenye waliskizia chenye kilihappen.

6.Then the young men came forward, wrapped up his body, and carried him out and buried him.
Kisha mavijanaa chali wakakam mbele, wakafunika body yake, wakambeba wakamzika.

7.About three hours later his wife came in, not knowing what had happened.
Kedo masaa matatu bahadayes waif akatokezea, na hakumesea ni nini kilikuwa kimehappen.

8.Peter asked her, "Tell me, is this the price you and Ananias got for the land?" "Yes," she said, "that is the price."
Peter akamwuliza niaje, "Nishow je? Hii njo ile price yenye wewe na Ananias mliget for iyo shake?" Waif akasema,"Eeh, hiyo njo price yake."

9.Peter said to her, "How could you agree to test the Spirit of the Lord? Look! The feet of the men who buried your husband are at the door, and they will carry you out also."
Pitaa akamshow niaje, "Mbona mli agree kutest Spirit wa sir Godi? Cheki! Zile miguu za majamaa wali bury hazi wako ziko kwa dooa,na watakubeba wewe pia."

10.At that moment she fell down at his feet and died. Then the young men came in and, finding her dead, carried her out and buried her beside her husband.
Hapo hapo hiyo maithaa akadunda down kwa miguu yake akadedi. Kisha wale jamaa wa yankee wakakam ndani na, wakimget amededi, wakambeba nje na kumzika beside hazi wake.

11.Great fear seized the whole church and all who heard about these events.
Njeve meja ikakwachu kanisa mzima na wote wenye waliskia jua ya hizi vitu.

12.The apostles performed many miraculous signs and wonders among the people. And all the believers used to meet together in Solomon's Colonnade.
Ma apostles waka-perform ishara mob na mawonders kati ya wadhii.

13.No one else dared join them, even though they were highly regarded by the people.
hakuna msealijaribu kuwa join,hata ingawa walikuwa wamedungwa respect na wadhii.

14.Nevertheless, more and more men and women believed in the Lord and were added to their number.
Na though ilikuwa hivo, wasee zaidi na zaidi majamaa na ma dem waliamini sir Godi na wakaongezeka kwa namba yao.

15.As a result, people brought the sick into the streets and laid them on beds and mats so that at least Peter's shadow might fall on some of them as he passed by.
Ju ya hiyo stori,wadhi walileta wasee sick hadi kwa streetsnakuwaweka kwama bed na ma mat njo at least shadow ya Peter ianguke kwa wasee kiasi vile alikuwa akipita.

16.Crowds gathered also from the towns around Jerusalem, bringing their sick and those tormented by evil spirits, and all of them were healed.
Rende ika gather pia toka kwa ma tao zenye zimezunguka Jerusa, wakileta wadhii wao wa sick na wale wameteswa na ma shaito,nahao wote wakakuwa healed.

17.Then the high priest and all his associates, who were members of the party of the Sadducees, were filled with jealousy.
Kisha wale mahigh priest na wadhi wote wasaidizi wake, wenyewalikuwa ma memba wa ile rende ya ma sadduccee wakajawa na wivu.

18.They arrested the apostles and put them in the public jail.
Wakawa arrest na kuwatupa Jail na kuwaseti kwa ile jela public.

19.But during the night an angel of the Lord opened the doors of the jail and brought them out.
Lakini timeza usiku malaika wa sir Godi akafungua doaa za jela na kuwa leta nje.

20."Go, stand in the temple courts," he said, "and tell the people the full message of this new life."
Akawashow,"ishieni mkasimame ndani ya verandah za temple, mkawashow hawa wadhi message full ya hii life mpya."

21.At daybreak they entered the temple courts, as they had been told, and began to teach the people.
When the high priest and his associates arrived, they called together the Sanhedrin—the full
assembly of the elders of Israel—and sent to the jail for the apostles.
Kufika ngware wakadonjo kwa veranda za temple, vile tu walishoiwa, wakaanza kuteach wadhii.Vile high priest na wasaidizi wake walifika, wakaita pamoja ile sanhedrin - full house assembly ya wazae wa Israel- na wakatumanisha jela wale apostles waitwe.

22.But on arriving at the jail, the officers did not find them there. So they went back and reported,
Lakini kuarrive ivi kwa jela,ma mr. officer hawakuwaget huko. So wakaishia back kuripoti,

23."We found the jail securely locked, with the guards standing at the doors; but when we opened them, we found no one inside."
"Tuliget jela imefungwa vi secure, pamoja na maguards kustand kwa doaa; lakini vile tuliopen milango, hatukuget mse ndani."

24.On hearing this report, the captain of the temple guard and the chief priests were puzzled, wondering what would come of this.
Kuskia hii ripoti, capuu wa mabanga wa temple na ma priest dozi wakatatizika, waka wonder kwanini nini inaweza kuwa ilitokezea.

25.Then someone came and said, "Look! The men you put in jail are standing in the temple courts teaching the people."
Kisha mdhii fulani akatokezea na kudai, "Cheki! Wale majamaa mliweka ndani ya jela wana stand ndani ya temple wakiteach wadhii."

26.At that, the captain went with his officers and brought the apostles. They did not use force, because they feared that the people would stone them.
kwa hiyo stori, capuu akaishia na ma mr. ofisa na kuletaapostles. Hawaku use force, ju waliogopa ati wasee wangewapiga mawe.

27.Having brought the apostles, they made them appear before the Sanhedrin to be questioned by the high priest.
Vile waliletama apostles, wakawamake wa appear mbele ya sanhedrin kuulizwa maswali na high priest

28."We gave you strict orders not to teach in this name," he said. "Yet you have filled Jerusalem with your teaching and are determined to make us guilty of this man's blood."
Akasema, "tuligeiana ma orders strict msi teach na hii jina,lakini mmejaza Jerusa na teachings zenu na mko determined ku tumake guilty of blood ya huyu jamaa."

29.Peter and the other apostles replied: "We must obey God rather than men!
Pitaa na wale apostles wengine wakareply: "Lazima tu tuobey sir Godi kuliko wadhii!

30.The God of our fathers raised Jesus from the dead—whom you had killed by hanging him on a tree.
Sir Godi wa mambuyuz wetu aliraise JC toka kwa the dead- mwenye mlimada kwa kumhang kwa mti.

31.God exalted him to his own right hand as Prince and Savior that he might give repentance and forgiveness of sins to Israel.
Sir Godi alimuinua juu hadi kwa mkono wake wa right ka Prince sonkwo na mwokozi njo aweze geiana repentance na kusameheana kwa dhambi za Israel.

32.We are witnesses of these things, and so is the Holy Spirit, whom God has given to those who obey him."
Si ni ma witness wa izi vitu, na pia Holy spirit, mwenyesir Godi amesha geiana kwa wale wanamu obey."

33.When they heard this, they were furious and wanted to put them to death.
Vile waliskia hivi, wakajam mbaya na kudai kuwamada.

34.But a Pharisee named Gamaliel, a teacher of the law, who was honored by all the people, stood up in the Sanhedrin and ordered that the men be put outside for a little while.
Lakini mpharisayo fulani alimeseka ka Gamaliel, modee wa power wa sheria, mwenye alidungwa respect na wasee wote,akasimama kati kati ya sanhedrin nakudai wale majamaa watoke nje kiasi.

35.Then he addressed them: "Men of Israel, consider carefully what you intend to do to these men.
Kisha ye akawadunga speech:"Majamaa waIsrael, consider vi carefully chenye mna intend ku doiya hawa wadhii.

36.Some time ago Theudas appeared, claiming to be somebody, and about four hundred men rallied to him. He was killed, all his followers were dispersed, and it all came to nothing.
Time fulani si mbali sana Theudas alitokezea, anadai ati yeni somebody, na ka wadhii soo nne
wakajipanga na yeye.Alimadwa, wadhi wotemafans wake wakasambazwa, ikafikia zero.

37.After him, Judas the Galilean appeared in the days of the census and led a band of people in revolt. He too was killed, and all his followers were scattered.
After yeye, Judas, jamaa wa Galilee akatokezea zile days za census aka lead wadhi kadhaa kwa revolution. Ye pia alidedishwa, na mafans wake wote waka scatter.

38.Therefore, in the present case I advise you: Leave these men alone! Let them go! For if their purpose or activity is of human origin, it will fail.
Kwa hivo,ju ya hii case hapa nawa advise: Achaneni na hawa wadhii peke yao! Wasare waishie! Ju ka miradi zao ni kazi ya mwili, wata fail.

39.But if it is from God, you will not be able to stop these men; you will only find yourselves fighting against God."
Lakini ka ni from sir Godi,hamtaweza kustop hawa wadhii; mtajipata tu mkifight sir Godi."

40.His speech persuaded them. They called the apostles in and had them flogged. Then they ordered them not to speak in the name of Jesus, and let them go.
Speech yake ikawaconvince. Wakaitana ma apostles ndani wakawawasha nyahunyo. Alafuwakawa order wasibonge ju ya ile jina ya Jesus,wakawasare waishie.

41.The apostles left the Sanhedrin, rejoicing because they had been counted worthy of suffering
disgrace for the Name.
Mitume wakatoka sanhedrin, wakijazika niaje, ju walikuwa wamehesabika wako worth kusuffer dharau ju ya Jina ya JC.

42.Day after day, in the temple courts and from house to house, they never stopped teaching and proclaiming the good news that Jesus is the Christ.
Siku after siku,ndani ya ma veranda za temple na kutoka kejamoja hadi ingine,hawakuwahi acha ku teachna kuproclaim ile habari njema that Jesus njo Kristo.

Friday, November 13, 2009

Acts 4

Ma-action na ma vitendo za masoja wa Jenerali JC, Flow ya nne- Acts 4

1.The priests and the captain of the temple guard and the Sadducees came up to Peter and John while they were speaking to the people.
Ma priest na hadi capi wa mabanga wa temple na ma sadducees wakakam up kwa Pitaa na Johnie vile walikuwa wakibonga na wasee.

2.They were greatly disturbed because the apostles were teaching the people and proclaiming in Jesus the resurrection of the dead.
Walikuwa wameumwa sana ati ma apostles wanabonga wakifunza wadhii na kudai kwa jina la Yesu ati kuna kurauka kwa the dead.

3.They seized Peter and John, and because it was evening, they put them in jail until the next day.
So bila kuwaweka, walishika Pitaa na Johnie na ju ilikuwa ma evening, waliwatupa jail hadi day next.

4.But many who heard the message believed, and the number of men grew to about five thousand.
Lakini wadhii wengi wenye waliskia hiyo message walibelieve, na ile number ya wadhii ma member ikagrow hadi five k.

5.The next day the rulers, elders and teachers of the law met in Jerusalem.
Day ya next masonkwo wanarule, wazae na maodijo wa sheria wakakutana Jerusa.

6.Annas the high priest was there, and so were Caiaphas, John, Alexander and the other men of the high priest's family.
Annas yule high priest alikuwaga pale, pia Caiaphashakuhata, Johnie, Alexander na wadhii wengine majamaa wa famo ya the high priest.

7.They had Peter and John brought before them and began to question them: "By what power or what name did you do this?"
Wakahave Peter aletwe pamoja na Johnie mbele yao na wakaanza kuwadunga maswali: "Na powergani ama jina gani mna do ivi?"

8.Then Peter, filled with the Holy Spirit, said to them: "Rulers and elders of the people!
Kisha Peter, akiwa amejazwa na holyspirit, akadai kwao: "Ma rulers na wazaewa wadhii!

9.If we are being called to account today for an act of kindness shown to a cripple and are asked how he was healed,
Ka tuna calliwa tutoe report leo ati niaje tulioneshana kindness kwa jamaa cripple na tunaulizwa niaje vile ali healiwa,

10.then know this, you and all the people of Israel: It is by the name of Jesus Christ of Nazareth, whom you crucified but whom God raised from the dead, that this man stands before you healed.
kisha jueni ivi, nyi na wadhii wote wasee wa israel:ni kwa jina la Yesu Kristo yule jamaawa
Nazareth,mwenyemlicrucify lakini mwenye sir Godi aliraise from the dead,that huyu jamaa anastand mbele yenu akiwa healed.

11.He is " 'the stone you builders rejected, which has become the capstone.'
Yeye njo " ' ile jiwe, ma contractor wa ku build mbanyu mlichuja, yenye sasa chenki njo jiwe ya korna, yenye inapimanisha zingine.'

12.Salvation is found in no one else, for there is no other name under heaven given to men by which we must be saved."
Wokovu haipatikani kwa mse mwingine,ju hanaku jina ingine chini yaheaven yenye imepeanwa kwawadhii by which tu ni lazima wasave-ike.

13.When they saw the courage of Peter and John and realized that they were unschooled, ordinary men, they were astonished and they took note that these men had been with Jesus.
Vile walicheki the courage ya Peter na Johnie na wakamesea ati hawa wadhii walikuwa hawajafika shule kusoma, wananchi ordinaree, walishangazwa meja hadi ikabidi wametake note ati hawa wajamaa walikuwaga wame hangout na JC.

14.But since they could see the man who had been healed standing there with them, there was nothing they could say.
Lakini ju pia walikuwa wakicheki jamaa mwenye alipona amestand pale pale nao, hanaku tuki wangebonga.

15.So they ordered them to withdraw from the Sanhedrin and then conferred together.
So waka waamrisha wakitoe from hiyo meeting iliitwa sanhedrin, njo at least wazae wado ka consultation ki siri siri.

16."What are we going to do with these men?" they asked. "Everybody living in Jerusalem knows they have done an outstanding miracle, and we cannot deny it.
Wakaulizana niaje,"Tuta do what na hawa wadhii?Kila msee mwenye anapoleaga Jerusa ashamesea kuwa hawa ma chali wame do miracle ingine tu outsnadingtumbaya, hatuwezi kwara.

17.But to stop this thing from spreading any further among the people, we must warn these men to speak no longer to anyone in this name."
Lakini njo tusiwaweke na ku prevent hii something isi spread zaidi kati ya wadhii, lazima tuwapee onyo ingine kali wasibonge kwa mse any na hii name."

18.Then they called them in again and commanded them not to speak or teach at all in the name of Jesus.
So wakawa call ndani tena na kuwa command wasibonge na hiyo jina ama ku teach kabisa na the name ya Jesus.

19.But Peter and John replied, "Judge for yourselves whether it is right in God's sight to obey you rather than God.
Lakini Peter na Johnie wakashow kitu iko,"Kuweni ma judge nyi wenyewekama nipoa kwa macho ya sir Godi tukiwaobey kuliko sir Godi.

20.For we cannot help speaking about what we have seen and heard."
Ju si hatuwezi jizuia kubonga ju ya zile drama tumecheki na kuskia."

21.After further threats they let them go. They could not decide how to punish them, because all the people were praising God for what had happened.
Sa baada ya vitisho wakawaachilia ku go. Hawange decide vile ya kuwapunish,ju wadhii wote walikuwa wakipraise sir Godi ju ya chenye kilikuwa kimehappen.

22.For the man who was miraculously healed was over forty years old.
Ju yule boy mwenye aliponywa vi miraculously alikuwa over miaka forty.

23.On their release, Peter and John went back to their own people and reported all that the chief priests and elders had said to them.
Vile waliget release yao hivi, Peter na Johnie waliishia back kwa wadhii wao na kureport kila kitu chenye priest masonkwo na wazae walikuwa wamewashow.

24.When they heard this, they raised their voices together in prayer to God. "Sovereign Lord," they said, "you made the heaven and the earth and the sea, and everything in them.
Vile waliskia ivi, wakapaza sauti zao tugezza wakipray sir Godi.Wakasema niaje,"Mtukufu bwana, ume make heaven na earth na sea, na kila kitu in them.

25.You spoke by the Holy Spirit through the mouth of your servant, our father David: " 'Why do the nations rage and the peoples plot in vain?
Ulispeak na the holy spirit kupitia mdomo ya servant wako,mbuyuz wetu Davie:" 'Mbona ma nations zinaleta hasira na wadhii wanapanga mipango empty?

26.The kings of the earth take their stand and the rulers gather together against the Lord and against his Anointed One.'
Kings masonkwo wa the earth washa take stand zao na ma leaders washa gather tugezza against bwana mdosi na against yule annointed wake.'

27.Indeed Herod and Pontius Pilate met together with the Gentiles and the people of Israel in this city to conspire against your holy servant Jesus, whom you anointed.
Cha ukweli Hero na Pontius Pilate walimeet pamoja na ma nations zingine pamoja na wadhii wa Israel kwa hiijiji kuchora mradi against servant wakomholy, JC, mwenye uli annoint.

28.They did what your power and will had decided beforehand should happen.
Walido chenye power yako na will yako ilidecide kabla that i happen.

29.Now, Lord, consider their threats and enable your servants to speak your word with great boldness.
Sa bwana mdos, consider vitisho zao na u make ma servants wako wa speak word yako kimangoto.

30.Stretch out your hand to heal and perform miraculous signs and wonders through the name of your holy servant Jesus."
Stretch outmkono yako kuheal na ku perform ishara miraculous pamoja na ma wonders kupitia jina ya servant wako JC."

31.After they prayed, the place where they were meeting was shaken. And they were all filled with the Holy Spirit and spoke the word of God boldly.
Bahada yao kupray, place yenye walikuwa wakidunga meeting ika shakeiwa.Na wakajazwa wote na the holy spirit wakanego word ya sir Godi na boldness.

32.All the believers were one in heart and mind. No one claimed that any of his possessions was his own, but they shared everything they had.
Wote believers wenye walikuwa hapo walikuwa in one mind na heart moja. Hanakumse alileta kujua ati chochote chake kilikuwa chake pekee, lakini wote walishare kila kitu chenye walikuwa nacho.

33.With great power the apostles continued to testify to the resurrection of the Lord Jesus, and much grace was upon them all.
Sa na nguvu zingine meja ma apostles walizidi ku testify ju ya kuraushwa kwa bwanamdos Jc from the dead, na grace inginetumassoive ilikuwa juu yao wote.

34.There were no needy persons among them. For from time to time those who owned lands or houses sold them, brought the money from the sales
Hakukuwa na mse yeyote msoto kati yao. Ju kila time wale wadhii walikuwa na ma shakee ama makeja walizikinda,waka gazza munde ya toka kwa izo ma property

35.and put it at the apostles' feet, and it was distributed to anyone as he had need.
wakaziwekelea kwa miguu za ma apostles,na ikadistibutiwa kwa kila mse kulingana na vile alikuwa amesota.

36.Joseph, a Levite from Cyprus, whom the apostles called Barnabas (which means Son of Encouragement),
Jose, mse mmoja levite kutoka cyprus, mwenye ma apostle waliitaga Barnabas (yenye inamaanishaga jamaa wa kuencourage wasee),

37.sold a field he owned and brought the money and put it at the apostles' feet.
alisell shakee yake personal na akaleta iyo munde akaiwekeleakwa miguu ya ma apostles.

Thursday, November 12, 2009

Acts 3

Action zenye ziligo down za masoja wa Jeneralli JC, account ya tatu-Acts 3

1.One day Peter and John were going up to the temple at the time of prayer—at three in the afternoon.
Sa day moja, Peter na Johnie walikuwa wapipanda juu kwa temple ile matime ya maombi - masaa tisa ivi afte.

2.Now a man crippled from birth was being carried to the temple gate called Beautiful, where he was put every day to beg from those going into the temple courts.
Sa mse mmoja cripple toka kuzaliwa alikuwa akibebwa hadi kwa gate ya temple inaitwa beautiful, place alikuwa akiwekwa kila day ku omba omba toka kwa wale wadhi walikuwa wakiingia kwa temple.

3.When he saw Peter and John about to enter, he asked them for money.
Vile Peter na Johnie walikuwa karibu kuingia, akawauliza wamkanje munde kiasi.

4.Peter looked straight at him, as did John. Then Peter said, "Look at us!"
Peter akamcheki straight kama tu Johnie.Alafu Peter akadai, "Ebu tucheki!"

5.So the man gave them his attention, expecting to get something from them.
So jamaa akawagei attention yake yote,ju ali expect at least watatoboka kitu fulani.

6.Then Peter said, "Silver or gold I do not have, but what I have I give you. In the name of Jesus Christ of Nazareth, walk."
Kisha Peter akadai,"Masilver ama gold hatuna,lakini chenye niko nacho nakugei. Katika Jina la Jesus christ yule jamaa wa Nazareth, tembea."

7.Taking him by the right hand, he helped him up, and instantly the man's feet and ankles became strong.
Akimkwachu by the right hand, akamsaidia kurauka,na vi instant miguu za jamaa na ankles za jamaa zikapata nguvu.

8.He jumped to his feet and began to walk. Then he went with them into the temple courts, walking and jumping, and praising God.
Akajump kwa miguu zake na kuanza kutembea. Kisha vile aliishia nao kwa verandah za temple, akiwalk na kuruka tu na kupraise sir Godi.

9.When all the people saw him walking and praising God,
Vile wadhii wote walicheki akitembea na kupraise sir Godi,

10.they recognized him as the same man who used to sit begging at the temple gate called Beautiful, and they were filled with wonder and amazement at what had happened to him.
Wakamrecognize kama yule jamaa same tu mwenye alikuwa akipoleaga akibeg kwa mlango ya temple, hapo kwa gate iliitwaga Beautiful,na wakajazwa na kushangaa na kujazzika at chenye kilim-happenia.

11.While the beggar held on to Peter and John, all the people were astonished and came running to them in the place called Solomon's Colonnade.
Sa beggar akizidi kushikilia akina Pitaa na Johnie, wadhii wote walikuwa wameshangaa na walikam wakikimbia kwao iyo place iliitwaga porch ya Solomon.

12.When Peter saw this, he said to them: "Men of Israel, why does this surprise you? Why do you stare at us as if by our own power or godliness we had made this man walk?
Vile Pitaa alicheki hivi akawashow: "Wadhii wa-israel, mbona hii inawa surprise? Mbona mnastare at sisi ni ka kwa nguvu zetu ama ju si ni wase godly saana ati tume make huyu jamaa a walk?

13.The God of Abraham, Isaac and Jacob, the God of our fathers, has glorified his servant Jesus. You handed him over to be killed, and you disowned him before Pilate, though he had decided to let him go.
Yule God wa Abraham, Izzo na Jacob, buzzenga wa mambuyus wetu, amesha glorify servant wake JC. Mlimsare over amadwe, na mkamruka mbele ya Pilate, ingawa Pilate alikuwa ameshapanga kumwachilia a go.

14.You disowned the Holy and Righteous One and asked that a murderer be released to you.
Mlisha m-disown yule mse holy na mse righteous na kudai ati jamaa mwuwaji asareiwe kwenu.

15.You killed the author of life, but God raised him from the dead. We are witnesses of this.
Mlimada yule mwanzo wa life, lakini sir Godi alimraise toka from the dead. Si ni ma witness wa hii.

16.By faith in the name of Jesus, this man whom you see and know was made strong. It is Jesus' name and the faith that comes through him that has given this complete healing to him, as you can all see.
By faith katika jina la Yesu, this jamaa mwenye mnacheki na mwenye mnajua alimakeiwa mstrong. Ilikuwa katika jina la yesu na faith yenye inakam through yeye that aligeiwa healing complete kwake, ka vile nyi wote mnacheki.

17."Now, brothers, I know that you acted in ignorance, as did your leaders.
"sa mabro, namesea kuwa mli act kwa kuto jua, kama tu ma leaders wenu.

18.But this is how God fulfilled what he had foretold through all the prophets, saying that his Christ would suffer.
Lakini hivi tu njo sir Godi alifulfill chenye kilielezewa through ma prophets wote, akidai that
Kristo wake ange go through na kusuffer.

19.Repent, then, and turn to God, so that your sins may be wiped out, that times of refreshing may come from the Lord,
Repentini basi na m-turn kwa sir Godi, njo hata dhambi zenu zi wipe-iwe off, halafu hadi matimes za kucheki refreshing zitakam from sir Godi,

20.and that he may send the Christ, who has been appointed for you—even Jesus.
na that pia a send Christ, mwenye ali appointiwa ju yenu- yaani Jesus.

21.He must remain in heaven until the time comes for God to restore everything, as he promised long ago through his holy prophets.
Lazima tu abaki heaven hadi ile ma time inakam for sir Godi ku restorekila kitu, kama tuvile ali promise kitambo kupitia maprophets wake wa holy.

22.For Moses said, 'The Lord your God will raise up for you a prophet like me from among your own people; you must listen to everything he tells you.
Ju Mosee alidai aje, "Bwana mdosi sir Godi wenu atawa appointia prophet kama mimi toka kwa wasee wenu; na ni lazima mskize kila kitu chenye anawashow.

23.Anyone who does not listen to him will be completely cut off from among his people.'
Mse yeyote mwenye hawezi mskiza atachujwakabisa from among wadhii wake.'

24."Indeed, all the prophets from Samuel on, as many as have spoken, have foretold these days.
"Kabisa,wadhiiwote toka kwa Samuel kuelekea on, wengi kama vile tu wengi wamebonga, walisha foretell hizi siku.

25.And you are heirs of the prophets and of the covenant God made with your fathers. He said to Abraham, 'Through your offspring all peoples on earth will be blessed.'
Na nyi ni wasee wa ku inherit toka kwa ma prophets na tokakwa agreement yenye sir Godi alimake na mambuyuz wenu. Alisema to Abraham, 'Kupitia watoi wako wadhii wote earth watablessika.'

26.When God raised up his servant, he sent him first to you to bless you by turning each of you from your wicked ways."
Vile sir Godi aliinua up servant wake, alimsend kwanza kwenu kuwabless by kuwa turn kila mmoja wenu toka your wicked ways."

Wednesday, November 11, 2009

Acts 2

Chapta mbe ya Ma action za ma soja wa Jeneralli JC - Acts 2

1.When the day of Pentecost came, they were all together in one place.

Vile day ya pentecost ilikam, walikuwa wote pamoja place moja.


2.Suddenly a sound like the blowing of a violent wind came from heaven and filled the whole house where they were sitting.
Vi sudden sauti kama upepo strong ajabu ikakam toka heaven na kujaza hao mzima place walikuwa wamebangaiza.


3.They saw what seemed to be tongues of fire that separated and came to rest on each of them.

Wakacheki chenye kilikuwa kama ulimi za moto zikiachana na kukam kutulia ju ya kila mmoja wao.


4.All of them were filled with the Holy Spirit and began to speak in other tongues as the Spirit enabled them.

Wote wakajazwa na holy spirit na wakaanza kubonga na lugha zingine mbichi vile holy spirit
aliwawezesha.


5.Now there were staying in Jerusalem God-fearing Jews from every nation under heaven.

Sa walikuwa awakipoleaga ndani ya jerusa wasee fulani God fearing toka kila nchi chini ya heaven.


6.When they heard this sound, a crowd came together in bewilderment, because each one heard them speaking in his own language.

Vile waliskia hii sound, rende moja ikakam pamoja ikiwa imeshangaa,ju kila mmoja wao aliskia wale wafuasi wa JC wakibonga language yao ya home.

7.Utterly amazed, they asked: "Are not all these men who are speaking Galileans?

Wakiwa wameshangazwa vimeja wakauliza: "Si hawa wadhii wote wanabonga wanatokezea Galilee?


8.Then how is it that each of us hears them in his own native language?

Basi itakuwaje ati kila mmoja wetu anawaskia na mothertongue yake?


9.Parthians, Medes and Elamites; residents of Mesopotamia, Judea and Cappadocia, Pontus and Asia,
Ma Parthians,ma Medes ma Elamites;wase wanaishi Mesopotamia, Judea na Cappadocia, Pontus na Asia,


10.Phrygia and Pamphylia, Egypt and the parts of Libya near Cyrene; visitors from Rome

Hadi Phrygia na Pamphylia, Egypt na hadi places zingine huko ma Libya karibu na Cyrene; hata wdhii toka Rome


11.(both Jews and converts to Judaism); Cretans and Arabs-we hear them declaring the wonders of God in our own tongues!"

(Wote ma Jew na wase wameconvert hadi Judaism); Wase waCrete na waarabu - tunawaskia wakibonga zile wonders za sir Godi na mother tongue yetu!"


12.Amazed and perplexed, they asked one another, "What does this mean?"

Wakiwa wamejazzika na pia wameshangaa, wakaulizana niaje, "Hii inamaanisha what?"


13.Some, however, made fun of them and said, "They have had too much wine."

Wengine, lakini, wakawachongoa wakidai, "Hawa wadhii wamekunywa kamnyweso mob."


14.Then Peter stood up with the Eleven, raised his voice and addressed the crowd: "Fellow Jews and all of you who live in Jerusalem, let me explain this to you; listen carefully to what I say.

Kisha Peter akastand up na wale eleven, akaraise voice yake na kushow crowd niaje: "Ma jews wenzangu na wasee wote wanapoleaga Jerusa, wacha niwashow explanation ya hii situation; skizeni vi careful chenye nawashow.


15.These men are not drunk, as you suppose. It's only nine in the morning!

Hawa wasee sio drunk,ka mnavyodhani. Si ni saa tatu tu morning!


16.No, this is what was spoken by the prophet Joel:

Zi, Hi ni ile story ilibongeshwa juu yake na higher man Joel:


17." 'In the last days, God says, I will pour out my Spirit on all people. Your sons and daughters will prophesy, your young men will see visions, your old men will dream dreams.

" ' Siku za mwisho, sir Godi anadai aje, Nitapour outSpirit yangu juu ya wadhii wote. Ma sons wenu na ma daughters wenu wataprophesy, majamaa wenu wa young watacheki visions, wazae wenu wata dream dreams.


18.Even on my servants, both men and women,I will pour out my Spirit in those days,and they will prophesy.

Hadi juu ya ma servants wangu, wote majamaa na madem, nitapour out spirit yangu hizo ma days, na wataprophesy.


19.I will show wonders in the heaven above and signs on the earth below, blood and fire and billows of smoke.

Nitawashow ma wonders juu kwa heaven na ishara chini kwa earth, blood na nare na moshi heavy.


20.The sun will be turned to darkness and the moon to blood before the coming of the great and glorious day of the Lord.
jua itabadilishwa kuwa giza na mwezi itabadilishwa kuwa blood kabla ya kufika kwa ile siku bwaku na glorious ya sir Godi.


21.And everyone who calls on the name of the Lord will be saved.'

Na kila mse atacall on the name of the lord atasevika.'


22."Men of Israel, listen to this: Jesus of Nazareth was a man accredited by God to you by miracles, wonders and signs, which God did among you through him, as you yourselves know.

"Majamaa wa Israle, skizeni hapa ivi: Jesus wa Nazareth alikuwa mse amepewa marks na sir Godi kwenu kupitia ma miracles, ma wonders na ishara, zenye God ali do kati yenu, vile nyi wenyewe mnamesea.


23.This man was handed over to you by God's set purpose and foreknowledge; and you, with the help of wicked men,put him to death by nailing him to the cross.

Huyu mse alipeanwa overkwenu kupitia njaro na mpango za mapema za sir Godi njo plan yake i stand; na nyinyi, kupitia msaada ya wasee wicked, mkam mada kwa kumpigilia ma nails kwa cross.

24.But God raised him from the dead, freeing him from the agony of death, because it was impossible for death to keep its hold on him.
Lakini sir Godi aka mraise up toka the dead, akamfree toka the agony of death, ju ilikuwa impossible for death kubaki imemshikilia.


25.David said about him: " 'I saw the Lord always before me. Because he is at my right hand,I will not be shaken.
Davie alisema kumhusu: " 'Nilicheki thelord kila saa mbele yangu. Ju ye ako at mkono yangu ya right, sitajawahi shakeiwa.


26.Therefore my heart is glad and my tongue rejoices; my body also will live in hope,

Kwa hivo heart yangu iko glad na ulimi yangu inawika mawimbo; mwili wangu pia itaishi na hope,


27.because you will not abandon me to the grave,nor will you let your Holy One see decay.

ju hautani abandon kwa grave, wala hautakubalia mse wako mholy acheki decay.


28.You have made known to me the paths of life; you will fill me with joy in your presence.'

Umefanya nimesee njia za life; utanijaza na furaha kwa presence yako.'


29."Brothers, I can tell you confidently that the patriarch David died and was buried, and his tomb is here to this day.
"Ma bro,nawashow vi confidently kuwa yule mbuyuz mkuu Davie alidedi akazikwa, na kaburi yake iko hapo hadi today.

30.But he was a prophet and knew that God had promised him on oath that he would place one of his descendants on his throne.

Lakini alikuwa prophet na alimesea chenye sir Godi alikuwa ame promise kwa kiapo that ange wekelea mmoja wa wajukuu wake kwa throne yake.


31.Seeing what was ahead, he spoke of the resurrection of the Christ, that he was not abandoned to the grave, nor did his body see decay.
Akicheki chhenye kilikuwa mbele, alibonga ju ya resurrection ya christ, vile hakuwa abandoned kwa grave,wala vile body yake haingeoza.


32.God has raised this Jesus to life, and we are all witnesses of the fact.

Sir Godi amerausha huyu Jc tyo life, na si wote ni ma witnesse wa hizi fact.


33.Exalted to the right hand of God, he has received from the Father the promised Holy Spirit and has poured out what you now see and hear.
Ameinuliwa hadi mkono wa right wa sir Godi, asha receive toka kwa the father ile holy spirit ili promisiwa na asha pour out chenye sa mnacheki na kuskia.


34.For David did not ascend to heaven, and yet he said," 'The Lord said to my Lord: "Sit at my right hand
Ju Davie hakupanda juu hadi heaven, na bado alisema," 'The lordalisema tomy lord: "polea at my right hand

35.until I make your enemies a footstool for your feet." '

hadi vile nita make ma haters wako wakuwe stool ya kukanyagia ya miguu zako." '


36."Therefore let all Israel be assured of this: God has made this Jesus, whom you crucified, both Lord and Christ."
"Kwa hivyo wacha Israel yote ikuwe sure juu ya hii: sir Godi asha make Jesus,mwenye mlicrucify, akuwe both bwana mdosi na kristo."


37.When the people heard this, they were cut to the heart and said to Peter and the other apostles, "Brothers, what shall we do?"
Vile wadhiiwaliskia hii story,walifeel wamekatwa hadi kwa heart wakamshow Pitaa na wadhii wale wengine mitume, "Mabros, sa ninini tutado?"

38.Peter replied, "Repent and be baptized, every one of you, in the name of Jesus Christ for the forgiveness of your sins. And you will receive the gift of the Holy Spirit.

peter akawajibu niaje, "Repent na mubaptiziwe,kila mmoja wenu, kwa jina la Yesu Kristo njo mupate kusamehewa madhambi zenu. amtapokea ile gift ya holy spirit.


39.The promise is for you and your children and for all who are far off—for all whom the Lord our God will call."
Hii promise ni yenu na watoi wenu na wadhii wote wako karibu na far-ya wote wenye sirGodi mungu wetu atacall."


40.With many other words he warned them; and he pleaded with them, "Save yourselves from this corrupt generation."

Na maword zingine mob akawa warn; na akaplead nao, "Jiokoeni from hii generation corrupt."


41.Those who accepted his message were baptized, and about three thousand were added to their number that day.
Wale wote waliaccept message yake walibaptisiwa, na karibu wadhii three k wakaongezwa kwa number yao kama member iyo day.


42.They devoted themselves to the apostles' teaching and to the fellowship, to the breaking of bread and to prayer.
Wakajitolea kabisa kwa ma teachings za aposltes na kwa fello, kwa kuhave holy communion na kwa kupray.

43.Everyone was filled with awe, and many wonders and miraculous signs were done by the apostles.
Kila mse alibaki amejazika sana namshangao, na ma ishara zingine mob miraculous zili doiwa na ma apostles.


44.All the believers were together and had everything in common.

Ma believers wote walikuwa pamoja na walikuwaga na kila kitu pamoja.


45.Selling their possessions and goods, they gave to anyone as he had need.

Walikinda mali zao na vitu zenye walikuwa nazo, wakageiana kwa kila mse kulingana na vile alineed.


46.Every day they continued to meet together in the temple courts. They broke bread in their homes and ate together with glad and sincere hearts,
Kila day walizidi kukutana pamoja ndani ya verandah za temple.Walikula holy communion kwama hao zao pamoja wakiwa na heart honest na zimejazzika.


47.praising God and enjoying the favor of all the people. And the Lord added to their number daily those who were being saved.
wakipraise sir Godi na kuenjoy ile acceptance ya wadhii wote. Na bwanamdosi alizidi kuongeza kwa namba yao daily wale wadhii walikuwa wakisevika.

Saturday, October 31, 2009

Acts 1

Matendo ya masoja wa Jenerali JC!! Moja-Acts 1

1.In my former book, Theophilus, I wrote about all that Jesus began to do and to teach
Sa kwa mbuku ya mine, edition ya last kuchora, Buda Theo, nilichorea ju ya kila samo JC alianzisha ku do na ku teach

2.until the day he was taken up to heaven, after giving instructions through the Holy Spirit to the apostles he had chosen.
hadi mpaka vilee, vile alipokelewa majuu into heaven, of course baada ya kutoa ma instructions kupitia Holy Shpiri kwa ma apostles wenye alikuwa amechose.

3.After his suffering, he showed himself to these men and gave many convincing proofs that he was alive. He appeared to them over a period of forty days and spoke about the kingdom of God.
Baada ya ye ku-suffer, alijionyesha kwa hawa wadhii na akageiana proof mob za nguvu, za ku convince wadhii alikuwa alive. Aliwatokezea over period ya masiku forty na kuwazungumzia kuhusu kingdom ya sir Godi.

4.On one occasion, while he was eating with them, he gave them this command: "Do not leave Jerusalem, but wait for the gift my Father promised, which you have heard me speak about.
Time moja, vile alikuwa akidishi nao, aliwagei hii amri: "Msitoke from Jerusa, lakini tulieni
mkingoja gift yenyembuyuwangu wa heaven aliwapromise, yenye mmeskia nikibongajuu yake.

5.For John baptized with water, but in a few days you will be baptized with the Holy Spirit."
Ju Johnie alibaptize na wode, lakini siku kiasi tu zinakam mtabaptiziwa na the holy spirit."

6.So when they met together, they asked him, "Lord, are you at this time going to restore the kingdom to Israel?"
So vile walikutana pamoja, walimwuliza, "Bwana, ni we utahakikisha time hizi that kingdom
itarudi kwa Israel?"
7.He said to them: "It is not for you to know the times or dates the Father has set by his own authority.
Akawashow: "Sio for nyinyi kumesea the times ama the dates zenye mzae ameseti na his own authority.

8.But you will receive power when the Holy Spirit comes on you; and you will be my witnesses in Jerusalem, and in all Judea and Samaria, and to the ends of the earth."
Lakini mtapokea nguvu venye holy spirit atakam juu yenu; na mtakuwa mashahidi zangu Jerusa, hadi kwote Judea na Samaria, na hadi mwisho wa earth."
9.After he said this, he was taken up before their very eyes, and a cloud hid him from their sight.
Baada yake kubonga ivo, alikwachuliwa mbele ya macho yao live, na cloud ikamhide from sight.
10.They were looking intently up into the sky as he was going, when suddenly two men dressed in white stood beside them.
Walikuwa wamesimama ivo wakingethia juu na bidii kwa sky vile alikuwa akiishia,hapo hapo
suddenly tu wadhi wawili wamedunga white wakasimama kando yao.

11."Men of Galilee," they said, "why do you stand here looking into the sky? This same Jesus, who has been taken from you into heaven, will come back in the same way you have seen him go into heaven."
Wakanego aje,"Wadhi wa Galilee, mbona mnasimama hapa mkicheki sky ivo? Huyu huyu JC, mwenye amekwachuliwa from nyinyi hadi heaven, atarudi back style mmemcheki ameishia heaven."
12.Then they returned to Jerusalem from the hill called the Mount of Olives, a Sabbath day's walk from the city.
Kisha walirudi Jerusa toka hill inaitwa Mount Olives, place ilichukuaga sabbath mzima kufika na route 11.
13.When they arrived, they went upstairs to the room where they were staying. Those present were Peter, John, James and Andrew; Philip and Thomas, Bartholomew and Matthew; James son of Alphaeus and Simon the Zealot, and Judas son of James.
Vile walifika, waliishia upstairs hadi ile room place walikuwa wakitulia. Wale wadhi walikuwa hapo ilikuwa Peter, Johnie, Jaymo na Drew; Philo na Toma, Barthes na Marto; Jaymo mtoi son wa Alfie na Simo yule Jamaa wa chama cha maZealot,na Judee mtoi chali wa Jaymo.

14.They all joined together constantly in prayer, along with the women and Mary the mother of Jesus, and with his brothers.
Wote waka join pamoja wakiwa wamestand in prayer kila mara, wakiwa na ma mathe na Meri yule matha wa JC, na mabro wake.
15.In those days Peter stood up among the believers (a group numbering about a hundred and twenty)
Hizo siku Joh Pitaa alistand up katikati ya ma believers (rende ya wadhi kama soo moja na
twenty)

16.and said, "Brothers, the Scripture had to be fulfilled which the Holy Spirit spoke long ago through the mouth of David concerning Judas, who served as guide for those who arrested Jesus—
alafu akasema, "Ma bro niaje, ile scripture ili have kufulfilliwa yenye holy spiritalibonga
zamo kupitia mouth ya Davie ju ya Judee, mwenye alikuwa guide ya wale wadhii walishika JC-

17.he was one of our number and shared in this ministry."
alikuwa kwa namba yetu kama member na alishare hii huduma."
18.(With the reward he got for his wickedness, Judas bought a field; there he fell headlong, his body burst open and all his intestines spilled out.
(Lakini na ile munde ya zawadi yenye aliget ju ya vile alikuwa mwiked, Judee aliboti
shakee;hapo akafall flat body yake ika burst hadi matumbo zake zikatoka nje.

19.Everyone in Jerusalem heard about this, so they called that field in their language Akeldama, that is, Field of Blood.)
Kila mse Jerus aliskia hii stori,so waka call iyo shake na kilugha Akeldama, yaani, shakee ya
damu.)

20."For," said Peter, "it is written in the book of Psalms, " 'May his place be deserted;let there be no one to dwell in it,'and, " 'May another take his place of leadership.'
Pitaa akasema, "Ju imeandikwa ndani ya mbuku ya Psalms ati, 'wacha place yake isareiwe; wacha kusikuwe na mse wa kupoleaga hapo,' na, "Na mse mwengine akwachuplace yake ya uongozi.'

21.Therefore it is necessary to choose one of the men who have been with us the whole time the Lord Jesus went in and out among us,
Sasa ju ilikuwa necessary kuchose mmoja wa wale wadhi mwenye amekuwa na sisi time yote Bwana JC amepiga ma raundi kati yetu,

22.beginning from John's baptism to the time when Jesus was taken up from us. For one of these must become a witness with us of his resurrection."
kuanziaga ile matime ya baptism ya Johnie hadi ile time JC alikwachuliwa juu toka among sisi. Ju mmoja wa hao lazima akuwe witness na sisi wa kufufuka kwake."
23.So they proposed two men: Joseph called Barsabbas (also known as Justus) and Matthias.
So wakapropose wadhi wawili: Jose mwenye anaitwa Barsabbas (AKA Justus) na Matthias.

24.Then they prayed, "Lord, you know everyone's heart. Show us which of these two you have chosen
Kisha wakaomba, "Bwana, unamesea hearts za kila mtu.Tuonyeshe ni nani kati ya hawa wawili umesha chose

25.to take over this apostolic ministry, which Judas left to go where he belongs."
kutake over hii huduma ya ki apostle, yenye Judee aliacha ku go place yenye anabelong."

26.Then they cast lots, and the lot fell to Matthias; so he was added to the eleven apostles.
Kisha waka cast ma lots na dice ikachagua Matthias; kwa ivo akaongezwa kwa wadhii ma apostles eleven.

Saturday, October 24, 2009

John 21

Johnie twenty 0ne - John 21

1.Afterward Jesus appeared again to his disciples, by the Sea of Tiberias.It happened this way:
Tena bahadayez Jesus akatokezea wafuasi wake, kando ya sea ya Tiberias. Ili happen ivi:

2.Simon Peter, Thomas (called Didymus), Nathanael from Cana in Galilee, the sons of Zebedee, and two other disciples were together.
Simon Peter, Thomas AKA Didymus, Nathaniel yule wa Cana ya Galilee, wale sons Zebedayo na wafuasi mbe wengine walikuwa tugezza.

3."I'm going out to fish," Simon Peter told them, and they said, "We'll go with you." So they went out and got into the boat, but that night they caught nothing.
Simon Peter akawashow, "Mi naishia out kufish." Wakamshow,"tutaishia na wewe." Kwa ivo wakaishia out wakapanda boat, lakini hiyo night hawakushika anything.

4.Early in the morning, Jesus stood on the shore, but the disciples did not realize that it was Jesus.
Ngware asubuhi, JC akasimama kwa ufuo, lakini wale wafuasi hawakumesea that ilikuwa Jesus.

5.He called out to them, "Friends, haven't you any fish?" "No," they answered.
Akawaita kuwauliza, "Majamaa, hamna any fish?" "Wakamshow, "zi."

6.He said, "Throw your net on the right side of the boat and you will find some." When they did, they were unable to haul the net in because of the large number of fish.
Akasema, "Tupeni net kwasideya right ya boat na mtaget kadhaa." Vile walitupa neti,walishindwa kuchomoa net kwa maji kuweka kwa boat ju ya vile walishika samaki mob.


7.Then the disciple whom Jesus loved said to Peter, "It is the Lord!" As soon as Simon Peter heard him say, "It is the Lord," he wrapped his outer garment around him (for he had taken it off) and jumped into the water.
Kisha yule mfuasi mwenye JC alipenda akashow Peter, "Nibwana mdosi!" Vile tuSimon Peter aliskia akisema, "Ni bwana mdosi,"akajifunga nguo yake ya nje (Ju alikwa ameivua) akaruka ndani ya maji.

8.The other disciples followed in the boat, towing the net full of fish, for they were not far from shore, about a hundred yards.
Wale wafuasi wengine wakafuatilia wakiwa ndani ya boat, wakivuta ile net imeshona ma fish, ju hawakuwa far na ufuo, kedo ninety meters.

9.When they landed, they saw a fire of burning coals there with fish on it, and some bread.
Vile waliland, wakacheki nare ya makaa hapo, ka barbeque kafish juu yake, na dibre kiasi.

10.Jesus said to them, "Bring some of the fish you have just caught."
JC akawashow niaje, "Ebu leteni fish kiasi hapo kwa zenye mmeshika tu saa hii."

11.Simon Peter climbed aboard and dragged the net ashore. It was full of large fish, 153, but even with so many the net was not torn.
Simon Peter akapanda juu ya boat akakokota net hadi kwa ufuo. Ilikuwa imeshona samaki wa soo ka, 153, lakini bado na fish mob hivo haikuraruka.

12.Jesus said to them, "Come and have breakfast." None of the disciples dared ask him, "Who are you?" They knew it was the Lord.
JC akawashow,"Kamini mjitibu ka breako." Hanaku hata disciple mmoja mwenye alimwuliza, "We njo nani?" Walimesea ilikuwa JC.

13.Jesus came, took the bread and gave it to them, and did the same with the fish.
JC akakam akakwachu ile loaf akawagei, alafuaka do ivo ivo na ile fish.

14.This was now the third time Jesus appeared to his disciples after he was raised from the dead.
Sa hii ilikuwa mara ya tatu JC ali tokezea kwa wafuasi wake after akuwe raised from the dead.

15.When they had finished eating, Jesus said to Simon Peter, "Simon son of John, do you truly love me more than these?" "Yes, Lord," he said, "you know that I love you." Jesus said, "Feed my lambs."
Vile walikuwa wamemada kudishi, JC akabongesha Simon Peter kumshow, "Simo mtoi wa Johnie, for real unanipenda ukweli kuliko hivi?" Peter akamshow, "Ndio bwana mdosi, unamesea nakupenda." JC akamshow, "Feed Kondoo za mine."

16. Again Jesus said, "Simon son of John, do you truly love me?" He answered, "Yes, Lord, you know that I love you." Jesus said, "Take care of my sheep."
Tena JC akasema, "Simomtoi wa Johnie, kwani unanipenda for real? Akamjibu, "Eeh, bwana mdosi, unamesea that nakupenda." JC akamshow, "Chunga kondoo zangu."

17. The third time he said to him, "Simon son of John, do you love me?" Peter was hurt because Jesus asked him the third time, "Do you love me?" He said, "Lord, you know all things; you know that I love you."Jesus said, "Feed my sheep.
Ile time ya tatu akamshow,"simo mtoi wa Johnie, unanipenda?" Peter akakuwa hurt ju JC alimwuliza mara ya tatu, "Je unanipenda?" Akasema, "Lord, unamesea kila kitu; unajua nakupenda." JC akamshow, Feed kondoo za mine."

18 I tell you the truth, when you were younger you dressed yourself and went where you wanted; but when you are old you will stretch out your hands, and someone else will dress you and lead you where you do not want to go."
Nakushow ukweli, vile ulikuwaga yankee ulijivalisha mwenyewe na kuishia ile place ulitaka; lakini vile utakuwa mu old utastretch out mkono yako, na mse mwengine atakuvalisha kladina kukulead ile place hautaki kuishia."

19Jesus said this to indicate the kind of death by which Peter would glorify God. Then he said to him, "Follow me!"
Jesus akasema ivo kuwashow ile kind ya kudedi by which Peter ange glorify sir Godi.Kisha
akamshow niaje, "Nifuate!"

20.Peter turned and saw that the disciple whom Jesus loved was following them. (This was the one who had leaned back against Jesus at the supper and had said, "Lord, who is going to betray you?")
Peter akageuka akacheki yule disciple mwenye JC alipenda akiwafuata. (Huyu alikuwa yule jamaa mwenye alikuwa ame leanback akilalia JC ile time ya supper na alikuwa amedai, "Bwana mdosi, nana anaenda kuku betray?")

21.When Peter saw him, he asked, "Lord, what about him?"
Vile Peter alimcheki, aliuliza, "Bwana mdosi, na je, what about huyu jamaa?"

22.Jesus answered, "If I want him to remain alive until I return, what is that to you? You must follow me."
JC akamjibu, ""Kama na want abaki alive hadi nirudi, hiyo ni nini kwako? Nimust unifuate."

23.Because of this, the rumor spread among the brothers that this disciple would not die. But Jesus did not say that he would not die; he only said, "If I want him to remain alive until I return, what is that to you?"
Ju ya this, fununu ika spread among ma bros ati huyu disciple hange dedi. lakini JC hakusema
ati hangededi; alisema tu ati, "Kama na want abaki alive hadi nirudi, hiyo ni nini kwako?"

24.This is the disciple who testifies to these things and who wrote them down. We know that his testimony is true.
Huyu njo yule disciple mwenye anashuhudia ju ya hizi vitu na mwenye alizi write down. Tunamesea kuwa ushahidi wake ni ukweli.

25.Jesus did many other things as well. If every one of them were written down, I suppose that even the whole world would not have room for the books that would be written.
JC akado vitu zingine mob pia. Ka kila moja ya zote ingeaandikwa down, nadhani hata world nzima haingekuwa na room za kutosha for zile books zingeandikwa.